Unknown Unknown Author
Title: Alichokiongea RC Makonda kuhusu September 1
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
August 30 2016  Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam  Paul Makonda  amewataka wananchi kuungana na Jeshi la Wananchi Tanzania katika maadhimisho y...
August 30 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amewataka wananchi kuungana na Jeshi la Wananchi Tanzania katika maadhimisho ya miaka 52 ambayo yatafanyika September 1 2016.
Katika maadhimisho hayo Jeshi la Wananchi pamoja na wananchi wenyewe wataitumia siku hiyo kuchangia damu salama pamoja na kufanya usafi wa jiji.
Lakini RC Makonda amewataka wana Dar es salaam wote pamoja na watanzania kwa ujumla kuondoa hofu ya kuwepo kwa maandamano yanayoitwa ‘UKUTA’
Unaweza kuendelea kumsikiliza RC Makonda kwenye hii video hapa chini…



About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top