1.Kufanya mazoezi kila siku. Hii inasaidia kwa asilimia kubwa sana kuondoa hisia za kimapenzi kwa sababu unaondoa mawazo mengi ya kuwa karibu na mwanamke ule muda ambao ungekuwa huru bila kufanya mazoezi.
2.Kujishughulisha kwa kufanya kazi kutofauti tofauti ili kuepuka kuwaza mambo ya kimapenzi
3.Kuwa mtu wa ibada, hiyo inasaidia kuepuka mambo ya kimapenzi kwa sababu,vitabu vitakatifu haviruhusu hayo mambo katika umri mdogo.
Post a Comment