Mkuu wa wilaya ya Kigamboni Hashim Mgadilwa naye amewaweka ndani vijana wawili ambao walikuwa wanaendelea na shughuli nyingine wakati wa zoezi la kufanya usafi
Pia mkuu huyo wa wilaya ametangaza kutoa zawadi ya shilingi 5O,OOO kwa yeyote ambaye ataripoti mtu anayetupa taka hovyo
Post a Comment