Unknown Unknown Author
Title: HUYU NDIYE MPENZI WA RAYMOND KIJANA WA WCB WASAFI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Wanasema jani halidondoki mbali na muembe, ndio ilivyo kwa Raymond kwenye kuchagua vitu vikali kama boss wake, Diamond. Tofatuti na wasani...

Wanasema jani halidondoki mbali na muembe, ndio ilivyo kwa Raymond kwenye kuchagua vitu vikali kama boss wake, Diamond.

Tofatuti na wasanii wengine wa WCB ambao wanajiachia na wapenzi wao waziwazi Raymond amekuwa msiri mpaka mpiga picha wa label hiyo, Kifesi alivyomwaga mchele kwenye siku ya birthday ya Ray
Alimpost mrembo huyu ambaye anajulikana kwa jina la Fahyma na kumuwish Ray ‘Happy Birthday’

Mrembo huyo pia amepost picha ya Cake iliyoandikwa ‘Happy Birthday Raymond’ na kuipa caption ya “I HAD TO SUPRISE MY BAE.. EVEN IS NOT BIG SUPRISE..

Baada ya hapo Ray naye aliona isiwe tabu, alipost video tata(aliifuta baada ya muda) akiwa na mrembo bila ya kumuonesha sura ila bila shaka ni mrembo huyohuyo ambaye pia ni rafiki mkubwa na Official_Lynn mrembo wa kwenye video ya kwetu.
Source bongoswaggz

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top