Unknown Unknown Author
Title: Alichokizungumza JPM kuhusu Maalim Seif kukataa mkono wa Rais Shein
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kituo cha TV cha  Azam TV  kimeripoti kwamba September 3 2016 Rais Magufuli akiwa kwenye ziara yake visiwani Zanzibar ametoa hotuba ambapo...

Kituo cha TV cha Azam TV kimeripoti kwamba September 3 2016 Rais Magufuli akiwa kwenye ziara yake visiwani Zanzibar ametoa hotuba ambapo amemshauri Rais wa Zanzibar kuwa mkali zaidi huku akizungumia tukio la Katibu mkuu wa CUF Maalim Seif kukataa mkono wa Rais Shein wakati akimsalimia.
>>>’kama mtu anaukataa mkono wako na wewe kataa mkono wako kufanya mambo yake, ajifunze ajue mkono wako una thamani, haiwezekani mbele ya watu unashike mkono anakataa halafu unatoka ofisini unasema unasaini hapa hela ya huyu kwenda kutibiwa’:-JPM
unaweza kutazama hii video hapa chini kutazama ilivyokua.



About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top