Unknown Unknown Author
Title: KIMENUKA KATI YA BEN POL NA SNURA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kama ulipitwa na picha iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ikiwaonyesha wasanii wawili wa muzikiSnura na Ben Pol wakiwa wana kiss usijal...

Kama ulipitwa na picha iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ikiwaonyesha wasanii wawili wa muzikiSnura na Ben Pol wakiwa wana kiss usijali,  ipo kwa ajili hiyo.

Hiyo ilikuwa ni Tabora wakati wasanii hao walipokuwa wameenda mkoani humo kudondosha mvua ya burudani katika Tamasha la Fiesta mkoani humo. Safari hiyo ilikumbana na siku ya kuzaliwa ya msanii Ben Pol. Na taarifa za kunyapia nyapia zinasema kwamba tukio hilo la kudendeka ilikuwa ni katika shamra shamra hizo za siku ya kuzaliwa kwa Ben Pol.Kama unavyojua Soudy Brown huwa siyo mtu wa mchezo mchezo alipokutana tu na picha hiyo akaamua ampigie simu DJ Hunter ambaye inajulikana kitambo ndiye mpenzi wa mwanadada Snura. Na kuna mengi ambayo unapaswa kuyasikia kutoka kwenye kinywa chake.
Soudy Brown hakuishia kwa DJ Hunter tu, bali hata Ben Pol alivutiwa waya na una kila sababu ya kuyasikia yaliyo zungumzwa na mkali huyo mwenye asili ya Dodoma.
Ubuyu wote upo kwenye hii video hapa chini. Itazame

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top