Unknown Unknown Author
Title: Washindi wa EATV AWARDS 2016 hawa hapa
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa ...

Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa muziki na filamu Afrika Mashariki, limefanyika usiku wa leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.
Tuzo hizo zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika Mashariki, ambapo wasanii mbali mbali wamefanikiwa kujinyakulia tuzo zao.
Tazama orodha nzima ya washindi hapa chini..
Kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume
G Nako – 'Original'
Sheta –'Namjua'
Mwana FA – 'Ahsanteni kwa Kuja'
Alikiba – 'Aje' --- MSHINDI
Ben Pol – 'Moyo Mashine'
Mwana muziki bora wa kike
Lilian Mbabazi – 'Yoola'
Ruby – 'Forever'
Lady Jay dee – 'Ndindindi' --- MSHINDI
Linah – 'No stress'
Vanessa Mdee – 'Niroge'
Mwanamuziki bora chipukizi
Manfongo – 'Hainaga ushemeji' --- MSHINDI
Feza Kessy – 'Sanuka'
Rukia Jumbe (Ruky Baby) – 'Mpasuo'
Bright – 'Nitunzie'
Mayunga – 'Nice couple'
Kundi bora la mwaka
Navy kenzo – 'Kamatia chini'--- MSHINDI
Mashauzi Clasic - 'Kismat'
Team Mistari – 'Tuzidi'
Sauti Sol – 'Unconditional bae'
Wakali wao – 'Chozi langu utalilipa'
Video bora ya mwaka
Njogereza – Navio
Namjua – Shetta
Aje – Alikiba -- MSHINDI
Don't Bother – Joh Makini
Ndindindi – Lady Jaydee
Wimbo bora wa mwaka
Don't bother – Joh Makini
Ndindindi - Lady Jayedee
Kamatia chini - Navy Kenzo
Moyo mashine – Ben Pol
Aje – Alikiba --- MSHINDI
Filamu bora ya mwaka
Facebook profile
Safari ya Gwalu --- MSHINDI
Mfadhili wangu
Hii ni laana
Nimekosea wapi
Muigizaji bora wa kiume
Meya Shabani Khamisi
Salim Ahmed (Gabo) --- MSHINDI
Daudi Machael (Duma)
Doto Hussein Matotola
Said Mkukila
Muigizaji bora wa kike
Chuchu Hansy --- MSHINDI
Rachel Bithulo
Frida Kajala Masanja
Khadija Ally
TUZO YA HESHIMA
DJ Maarufu bongo Boniventure Kilossa (Dj Bonny Love) ndiye mtu aliyepewa tuzo maalum ya heshima, akitambuliwa kutokana na mchango wake kwenye tasnia ya sanaa hapa nchini

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top